Breaking News

Clinton akubali kushindwa Marekani







  1. Mgombea wa Republican Donald Trump amemshinda Hillary Clinton wa Democratic katika uchaguzi wa urais uliokuwa na ushindani mkali.
  2. Clinton amempigia simu Bw Trump kumpongeza
  3. Trump amepata kura 278 za wajumbe, Bi Clinton akiwa na 218
  4. Trump alishinda majimbo mengi yaliyokuwa yanashindaniwa

No comments